Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wa usimamizi dhabiti wa mahali pa kazi ili kuongeza ufanisi. Mafunzo hayo yalifanyika katika ukumbi wa chuo cha Bandari kwa muda wa wiki tatu na kuhitimishwa tarehe 19/03/2025.
Chuo kinaendelea kuwakaribisha taasisi na makampuni kuja kujifunza kozi za uongozi na usimamizi mahala pa kazi.